Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mtu mmoja auawa nchini Venezuela wakati wa zoezi la upigaji kura ya maoni lisilo rasmi.

Zikiwa zimebakia wiki chache tu kufanyika Uchaguzi mkuu nchini Kenya, wanasiasa wanaowania nafasi ya Unaibu rais kupambanishwa leo katika mdahalo.

Mashirika ya Kiraia Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo yawataka raia kupinga makundi yanayowataka kuandamana.

Na Afrika Kusini wameibuka washindi wa jumla wa mashindano ya riadha kwa vijana wasiozidi umri wa miaka 18 yaliyokamilika jumapili mjini Nairobi.
 
Tuwe na mwanzo mwema wa siku....

Kila kitu kinawezekana....
4e0f6da2b20e0f8f68bbc70bd9d85677.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom