shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Yeeeeaaaaah muntu ya baremboo ...wanaomelemeta kama yange yangeee....

Yeeeeaaaaah muntu ya baremboo ...wanaomelemeta kama yange yangeee....

Wewe na kutoskipMbuzi wake alikuwa anatiwa suna
Alisema mke mkubwa
Alieitumia hiyo sasa HV keshakuwa muhenga![]()
Umewahi kutumia hii ?
...
Mzee wa kumetametaaaaMuzee ya peremende Asante kwa magazeti
Husna weweAlieitumia hiyo sasa HV keshakuwa muhenga
Hata hajapendezaaaa kabisaa yaani ni bora angejivalia dira km mie tu![]()
![]()
sio kwa fasheni hyo
Mmmmh!Hio ni zaidi ya laki kwa sasa
Kumbe na we unajirushagaDuh fresh
Ndo nimetoka kujirusha muda hii...nimeamua kumalizia siku hapa
![]()
![]()
![]()
......

Mbona unakazia sana kudiscuss hizo nyonyo??!!Eti yanautwa malapa au yeboyebo?
![]()
![]()
![]()
.....
Haijawahi kuwa hivyo mdau
Wakati 100/ ikiwa noti ya aina hiyo ilitosha kununulia muhindi mzima wa kuchoma tu
Sasa acha kuidharau laki ....inatosha kabisa kunywa na kuhonga
![]()
![]()
![]()
.....
watu mnawaza kunywa na kuhonga tuShukrani Husna
Umeniongezea kitu kichwani
......

Unakodoa kodoooooo
Siku njema kwako piaHabar ya asubuh View attachment 544082muwe na siku njema ..