Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kashalewaaa

anigif_original-grid-image-20587-1416603217-5.gif
 
Tangazo la Wadhamini:

Mapumziko haya yanaletwa kwenu kwa udhamini mnono wa shululu na Tumosa kwa ukaribu kabisa wa Shunie na anko lee empire , bila kuwasahau wadhamini Jimena na kagame, Transcend na Sakayo chini ya ufadhili wa husna muba na mimi.
Bila kuwasahau Nyagei na Linamo , demi na Mondray , mzeewakungoa na Clkey , Mndali ndanyelakakomu na Valentina , BlessedHope na werrason
NB: wadhamini wa para ya pili hawajamaliza kulipa pesa za udhamini


Binamu asante,wkend mood on fleek
 
Ha ahhahahahah, huyo aliyetengeneza hii kinywaji anahitaji tuzo ya Nobel.
Halafu wadhamini waliokuwa hawajamaliza hela za udhamini wameathiri bundle na Shunie kakawia kutuma muamala


Unanimaliza wewe unanimaliza wewe
Penzi lako limenikolea sijiwezi darling unayonipa sijazoea sikuachi hunnie

Napokuona me natakaa

Binamuuuuuuuuuuuuuu on the mix

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom