Makapuku Forum

Makapuku Forum

Heshima kwako kapuku mwenzangu
Mtaani kwetu Jana tanesco walifanya yao na HV vitecno vyetu vya kuchaji kila siku basi ilikuwa majanga tu
Km kawaida mi sio mzee Wa kuskip page so ukiona naquote SMS ya mwaka juzi ukae kimya tu

OK muwe na asubuhi njema wote especially binamu Wa Lee mpendwa/mpenzi Wa Mimi DJ Wa makapuku Mimi penda sana wewe mutu kwakweli


Asante kwa salamu zako Husna wangu mwenyewe. Uwe na wakati mzuri
 
Zamani mtu anatembea kilometer 5 kwenda shule na anafauru vizuri tu, sasa hivi wanabebwa kwenye mabus, ukiwauliza kusini ni wapi utakavyojibiwa utachoka

Ha ahhahahaha, eti kusini ni wapi . Yaani pande nne tu zinawasumbua, ukiwaeleza kuwa sio nne bali 8, na sio nane baki 16 wanakuona mvumbuzi.

Umenifanya nimefurahi , asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom