Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hivi unajua kwamba mwanaume anayepitia bar au kwenye chomachoma akachukua nusu kuku akafunga kwenye mfuko akawahi nyumbani mapema ili ale yule kuku mdogo na mkewe na watoo wake wote ana akili, busara na hekima mara 1000 kuliko yule ambaye anapitia kwenye bar hiyohiyo na kuketi na kuchoma kuku watatu na mguu wambuzi ili ale na marafiki zake na akimaliza kushiba anabeua na kutoa pumzi safi na chafu huku akienda nyumbani kwa kuchelewa na tena akiwa mikono mitupu wakati huko nyumbani kwake wana mwezi hawajamnusa kuku. Sasa hapo ndipo utapingana na yule mhenga aliyesema "Akili ni nywele na kilamtu anazake" maana nahisi kunawengine wana upupu kichwani na sio akili #
Saa nyingine akili zako zinatulia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom