Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Karibu
Karibu
mbona utaelewa tu...karibu
Hivi unajua kwamba mwanaume anayepitia bar au kwenye chomachoma akachukua nusu kuku akafunga kwenye mfuko akawahi nyumbani mapema ili ale yule kuku mdogo na mkewe na watoo wake wote ana akili, busara na hekima mara 1000 kuliko yule ambaye anapitia kwenye bar hiyohiyo na kuketi na kuchoma kuku watatu na mguu wambuzi ili ale na marafiki zake na akimaliza kushiba anabeua na kutoa pumzi safi na chafu huku akienda nyumbani kwa kuchelewa na tena akiwa mikono mitupu wakati huko nyumbani kwake wana mwezi hawajamnusa kuku. Sasa hapo ndipo utapingana na yule mhenga aliyesema "Akili ni nywele na kilamtu anazake" maana nahisi kunawengine wana upupu kichwani na sio akili #
AhsanteSafi tu. karibu
Karibu hny hahaha utauelewa tu
Welcome
Hahahaa...


Wakikutumia picha..Si mlipo jamaan aliye karibu na mwenzie amfate jamaan yaan mnanichosha
acha tu mke mweee mkitokea kule watu wanajua baba d yulee na binamu yake
Shemela ukuje naona leo unakwepa wewe kuonwa ujue nacheka sina mbavu mie jf ni konyoo
Aiseee! Hii movie kali..Mmmmh
Niende hotelini kabisaa
Wapi sasaaa
Hahaha
Namshangaa.... Halafu mie sitokagi usiku ajue...




Mahondaw:
Umenifumbua macho...samahani shangazi niko kanisani, hili neno nimeligeuzageuza, 'ko' nimeiweka mwisho
Haya weeHuyo mchezaji
Huku ni kama familia zinaishi...yaani life linaendelea kila siku..
Post ya juu hapo