Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,814
- 15,558
Waelezee wakuelewe vizuri sitaki kuchukiwa mimiNilimaanisha kuchapia yaani kukosea kutype maneno kwenye techno wereva yakoo
Hiyo wereva nikitu gani?
Waelezee wakuelewe vizuri sitaki kuchukiwa mimiNilimaanisha kuchapia yaani kukosea kutype maneno kwenye techno wereva yakoo
Hebu Punguza makali ya lugha kidogo MondraySafiii hapo gud,nikipanda gari natapika nafika nimelegea kama Condom iliyotumika..
Siku hz haina muda wakati wowote tu unatumiaHii morning inaishia saa ngapi Shululu?

Waelezee wakuelewe vizuri sitaki kuchukiwa mimi
Hiyo wereva nikitu gani?
TecnoWaelezee wakuelewe vizuri sitaki kuchukiwa mimi
Hiyo wereva nikitu gani?
Usiniambie mie ndio nimekufukuza manga si ulikuepo hapa unaongea na kucheka ila nakusalimia tuNilikuwepo
Post sent using JamiiForums mobile app
Naunga mkono hojaHebu Punguza makali ya lugha kidogo Mondray
Anakukimbia labdaUsiniambie mie ndio nimekufukuza manga si ulikuepo hapa unaongea na kucheka ila nakusalimia tu
Unaanzaje kwisha sasa kwa mfano??Katika zoezi la kupiga picha za vitambulisho vya shule, mpiga picha alimwambia mwalimu mkuu kwamba picha moja ni 500 kwa kila mwanafunzi.. Mwalim mkuu akawaambia walimu wa darasa kuwa wawaambie wanafunzi walete 1000 kila mmoja wao kwa ajili ya picha.. walimu wa madarasa wakawatangazia wanafunzi kuwa kila mmoja alete 1500 kwa ajili ya picha.. watoto wakasema kwa mama zao wao kuwa kuna kupiga picha na gharama ni 2000. Mama sasa kwa baba wa familia.. " Baby hizi shule za siku hizi kwa kupenda pesa.. kuna mchango wa picha 5000 mpenzi wangu mtolee mwanao apate kitambulisho.."
Asa namna hii wizi utaisha Tanzania ?
Asante kwa tetesi za usajiliTukutane baadae. ..ila kumbuka kuna wahenga wengine sio wa kuigwa ....
![]()
Nshapita shoga angu nikose tenaUmepita kwa lege? Mbududa katupiaa
Nimewaza tu kuingia shunie anaaga haya manga wasalimieAnakukimbia labda
Story iko patamu sanaNshapita shoga angu nikose tena
Tukivaa za dukani tutang'aa kama yangeyange(in Shunie's voice)![]()
![]()
kabisaa yaani mitunda ndio mwake humooo
OK poa mlee shululu vizuri mwanaume ni km mtoto anataka malezi atii
Nashukuru kwa kitchen party