Makapuku Forum

Makapuku Forum

Katika zoezi la kupiga picha za vitambulisho vya shule, mpiga picha alimwambia mwalimu mkuu kwamba picha moja ni 500 kwa kila mwanafunzi.. Mwalim mkuu akawaambia walimu wa darasa kuwa wawaambie wanafunzi walete 1000 kila mmoja wao kwa ajili ya picha.. walimu wa madarasa wakawatangazia wanafunzi kuwa kila mmoja alete 1500 kwa ajili ya picha.. watoto wakasema kwa mama zao wao kuwa kuna kupiga picha na gharama ni 2000. Mama sasa kwa baba wa familia.. " Baby hizi shule za siku hizi kwa kupenda pesa.. kuna mchango wa picha 5000 mpenzi wangu mtolee mwanao apate kitambulisho.."

Asa namna hii wizi utaisha Tanzania ?
 
Manchester City wanaongeza juhudi zao za kutaka kumsajili beki wa kushoto wa Monaco, Benjamin Mendy, 22, kwa pauni milioni 50 hii ni baada ya Tottenham kukataa kuwauzia Danny Rose, 27. (Sunday Express)
 
Manchester City nao wamejiunga katika mbio za kutaka kumsajili beki wa kulia wa Real Madrid Danilo, 26, ambaye thamani yake ni takriban pauni milioni 21.9. Chelsea na Juventus wanamtaka pia beki huyo kutoka Brazil. (Sunday Times)
 
Andrea Belotti ameiambia AC Milan anataka kujiunga nao, lakini klabu yake, Torino inataka euro milioni 100. Milan wapo tayari kutoa euro milioni 40 pamoja na Gabriel Paletta na M'Baye Niang. (Calciomercato)
 
Tukutane baadae. ..ila kumbuka kuna wahenga wengine sio wa kuigwa ....

e878782da0775cf612f0eda3da05a6d6.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom