Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,049
Kwani wewe ni mhalifu.Hahaha wala sichezi but hawa pt ni watani zangu tu
Kwani wewe ni mhalifu.Hahaha wala sichezi but hawa pt ni watani zangu tu
Mkuu vipi kiongozi1.Kama unatumia simu au laptop download na install Application inaitwa Bit torrent au utorrent.
Ukimaliza kuinstall nenda Google andika *kickass torrent* then okay!
Zitakuja page mbali mbali chagua moja imeandikwa *New movie torrent* click then kitatokea kitu kama hiki hapa chini.
![]()
Utaona sehemu ya kusearch,tafuta movie unayotaka then bonyeza mshale wa kudownload.
Over.
Yeye kasema Sio mgonjwaHahaha.
Akamatwe.
Poa tu.Mkuu vipi kiongozi
Oooh mara oooh tairi kipara, mara naomba chai, pt bhana!Kwani wewe ni mhalifu.
Nilikula videonge vya kutoingia sasa naona kuna stori za kutatiza sizikumbuki maana nina dementia unajua uzee na vyakula tunavyokula lakini nimesoma. Hamjambo? Kesho ni siku ya wavivukazi lakini wote mtakuwa vitandani. Je mtamkumbukaje mzee wa ukapa aliyetaka kuwapa siku ya kulipiza mkasema hapana sisi hatutaki. Watu bwana\/Niah una nia gani lakin?
Vp tena shemMh!!!
Hapa kuna harufu mbaya.
Sumbai unafanya kaz mochwari nini mkuu! Mchana ni nadra kuku soma wew na samoo why rafikiMkuu vipi kiongozi
Mambo shem!Lizzie habari shemu, naona unachungulia na kirudi nyuma
Marhabaa vipi kesho unaenda kusafisha gate yako au uchochoro au unalala? mimi naamka saa tano wakitaka wanipige bunduki masikioni ndo niamke.Hatujambo Grandma.
Shikamoooo.
Tena fasterHajijui mkuu.
Inabidi awahishwe fasta.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Naona jambilo anaonyesha dalili za kuzima taa.Vp tena shem
Mkuu EMMYGUY tunaomba jiandae.Tena faster
Hakika ni nzuri na utaipendaAsante shem, ngoja nijaribu kuidownload hiyo movie, naamini itakuwa nzuri sana.
Una utata mwingi, najua shida yako unazengea damu changa..na hapa umeona youngblood japo ni jina tuu mwenyewe kazeekaNilikula videonge vya kutoingia sasa naona kuna stori za kutatiza sizikumbuki maana nina dementia unajua uzee na vyakula tunavyokula lakini nimesoma. Hamjambo? Kesho ni siku ya wavivukazi lakini wote mtakuwa vitandani. Je mtamkumbukaje mzee wa ukapa aliyetaka kuwapa siku ya kulipiza mkasema hapana sisi hatutaki. Watu bwana\/
Mimi nimesafisha leo.Marhabaa vipi kesho unaenda kusafisha gate yako au uchochoro au unalala? mimi naamka saa tano wakitaka wanipige bunduki masikioni ndo niamke.
Poa shemu zangu, nikiwaona wew lozzie+amaizing na nenepa rohoni, nawapendeni sana..agape loveMambo shem!