Makapuku Forum

Makapuku Forum

d157f96752b5d4b5314342d7c83cb6dc.jpg

Naomba TIBISHANE KIDOGO
Aanze nani kupita?
Zen afuate nani?
Halafu amalizie nani?
.........................
[/IMG]
B
 
Kumbe una tabia mbaya, kutongozwa kidogo unaangusha nguo ya ndani!
Shem akirudi ntamwambia
Usimwambie tafadhali.

Si unajua kama kawaida yangu mimi ni mtu wa kutoa misaada kwa wenye shida!!!
Tena huyu bibi kikongwe lazima nimsaidie kwa nguvu zangu zote.
 
Unaona?
Noliwaambia wadau wewe unataka dam changa naona unaanza kusema ya moyoni..
We mtoto umenikosea adabu!!!!!!! Nikuambie nashukuru kwa kila jambo. Naridhika, sitamani wala sioni husda kwa lolote. Nimeridhika na ndo maana napata time ya kukaa na wanangu na wajukuu na kaka na dada zangu kubadilisha mawazo. Fuatilia chart zangu sina mihemko mimi ni bibi niliyeridhika. Samahani sikupenda kusema haya yote ila nataka unielewe. I am a bit of a commedian I am also a writer so i like writing what I think is funny and which can make others laugh but I am not looking of company. I have already long time ago about 30 na more years ago. Jambilo niombe samahani sasa hivi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom