AiseeWalimcheka signature ya cmu yke ndo anasubiri vijana wamtolee ndo aje
Sakayo nae yupo huko mkikutana msisahau picha tu jamaanNipo Moshi kweli
Nimeiona aisee
Haina shida shemelaSakayo nae yupo huko mkikutana msisahau picha tu jamaan
Ngoja nijaribuEbu mtafute kweli
AiseeNipo hapa polic mess
Ndo natoka kwa MwamposaKweli shemela yupo moshi huyo
Basi sawa !!!ebana vipicha vyako vya "did u know" ndo vimefanya nipitie uzi huu mrefu japo nimeanzia mwsho kurud mwanzo![]()
![]()
![]()
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
HahahaSakayo nae yupo huko mkikutana msisahau picha tu jamaan
Upo kweliWandugu,habar?
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Asanteee
Pamoja sana wadauAsante
Nipo hapa mpaka sasaAisee
Nilikuwa hapooo nikaenda kwa Mwamposa
Afande shedede niajeWandugu,habar?
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Poa PoaNipo hapa mpaka sasa
Kingamuzi + dish wanatoa bure?Mbona kifurushii cha mambo ni kama cha azamu ...19500...channel kibao na now wameweka superspot 4..7...8...9...na 10 ...
Ila DSTV wana chanel nzuri sana na vipindi bora kabisa, huwezi kujutia kulipia hata 100,000 kwa mweziKingamuzi + dish wanatoa bure?
Wameona AzamTv wamechukua wateja ndo wakashusha bei
Hata Azam siku jizi 15k/= mastation kibao tu
Na mpira nafuatiliaga mechi za Man Utd tu liwe jua iwe mvua naenda hata kibanda umiza kulipa jero
Mechi za majirani hazinihusu labda iwe mechi muhimu sana
La Liga naangaliaga El Classico na vimechi vichache vyenye umuhimu
..........