Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Poa shedyMambo dada SAKAYO?
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Poa shedyMambo dada SAKAYO?
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Nilikumiss sana...Poa shedy
Napenda nione ukinitendea napenda nione ukinibariki napenda nione ukiniinua kila kitu kwako mimi napenda
Napenda nione ukiniponya napenda nione ukinifariji napenda nione ukiniinua kila kitu kwako Bwana mimi napenda
Napenda nione ukinitendea napenda nione ukinibarikinapenda nione ukiniinua napenda nione ukinibariki kila kitu kwako mimi napenda
Napenda nikiona ukiniponya napenda nione ukinifariji napenda nione ukiniinua kila kitu kwako Bwana mimi napenda
Napenda x2 kila kitu kwako Bwana mimi napenda

Mie zaidi jamaniNilikumiss sana...
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Katiba yetu hairuhusu kuwowaaSare sasa ya nini jamaan kwani mnaenda kuwowa
Raha yangu kukuonaa unachekaaNimecheka sana
Hakika mungu yu mwema sana SAKAYOMie zaidi jamani
NiajeeeeWandugu,habar?
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Kununua azamu iko juu mbona ...dstv ni 79000...azamu laki na 30.....Kingamuzi + dish wanatoa bure?
Wameona AzamTv wamechukua wateja ndo wakashusha bei
Hata Azam siku hizi 15k/= mastation kibao tu
Na mpira nafuatiliaga mechi za Man Utd & Yanga tu liwe jua iwe mvua naenda hata kibanda umiza kulipa jero
Mechi za majirani hazinihusu labda iwe mechi muhimu sana
La Liga naangaliaga El Classico na vimechi vichache vyenye umuhimu
..........
Kama ida baba humzima wewe??Niajeeee
Ila DSTV wana chanel nzuri sana na vipindi bora kabisa, huwezi kujutia kulipia hata 100,000 kwa mwezi

KaribuuuWandugu,habar?
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Nzurii sanaWandugu mwenye uzoefu wa hizi laptop haina ya apple(macbook air au pro) anipe ushauri ipi ni nzuri nampango wa kununua laptop kutoka brand ya apple..?
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Asante shemela nilikumiss sana...Karibuuu
Jumamosi Fleva: Jipende Mwenyewe
Ni Jumamosi nyingine tunakutana kwenye muziki na kama kawaida maneno machache muziki unatawala. Hapa KF leo ni muziki wa kileo zaidi na si ule muziki wa wahenga. Ila ujue nini, hata hawa vijana wa leo wanaoniita muhenga jioni hii asubuhi ikifika nao wataitwa wahenga. Maisha ni mzunguko.
Jipende mwenyewe maana ni wewe mwenyewe ndo unajijua, wengine hutoa complimentary tu ila ikifikia kujipenda, jipende mwenyewe kwanza na mengine yatakuja tu. Sisemi kupenda au kupendwa sio muhimu, namaanisha ukijipenda mwenyewe na mwingine atakupenda, usipojikubali hakuna atakayekukubali.
Asante kwa Shunie aunt yangu wewe kwa kuchukua nafasi ya kutupatia sala na maneno ya hekima, unafanya vizuri sana na ninakupenda kama unavyopendwa na wengi. Unalijua hilo, tabasamu maana ndivyo unavyonifanya nitabasamu. Asante sana.
Tuburudike sasa na kwa usiku huu tumwangalie Justin Bieber- Love Yourself (nimesikiza dirty version yake huihitaji hapa) akiperfom live huko Manchester kwenye Tamasha la One maalum kuchangia shirika la Msalaba Mwekundu.