Makapuku Forum

Kuumbe!!!! Kuna watu nawaonaga hata mtaani huku km wameungua moto vilee kumbe ni huo ugonjwa!!!

Ila muhimu ni kujikubali tu basi
Huo ugonjwa hauna tiba
Alishindwa Michael Jackson na pesa zake wataweza akina ngumbaru?
Usipoikubali hali yake utamaliza hospitali zote na mpunga utaisha
Conjwa lenyewe haliwashi wala kuua
Unashambulia zaidi watu weusi tii ila hata Wazaungu huugua
Chanzo ni homoni tu na hauambukizi hata uwepo sehemu za siri
......
 
FaizerFix mbona anaingiaga humu mdau na kukomenti inapobidi
Yule bibi ashawahi kusema anatukubali na akija huwa tunataniana nae tu
Mod Paw,Bridger nap washaingia humu
Ze Bold & Ontario washaingia na kukoment na kutupa 5
Mkubwa Max nae aligonga like
Ungabure keshaingia mara kibao kutukana kwa kiingereza
Mchawi Jr zamani keshapost zaidi ya X 50
Nani mwingine bado?,
.........
 
Mgahawa wako huu hapa wewe jamaa..

Wanauza pizza na Burger..






Huyo hapo juu sijui ni nani hata..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…