Makapuku Forum

Mwanzo nilifikiri mechi ya Everton ni week end nikapamga nitafute tiketi kumbe ni Leo kazi kweli kweli sitakwenda
.
.
.
.
Shukrani mdau
Asubuhi njema
.....
 
View attachment 540937Kwa udhamini mnono wa Wayne Rooney kuja Tanzania na timu ya evaton na kuitangaza nchi yetu

Nawatakieni siku njema Mbarikiwe sana makapuku wote
Ahsante mdau
Siku hizi meza za magazeti tumewaachia washamba kitaa wanasimama na kujazana km nzi na kutushangaa ambao hatukodoi macho kumbe wajanja tushasoma kupitia KF

.....
 
Antonio Conte ubingwa ushamlevya anajiona timu imekamilika na kuzubaazubaa tu sokoni
Next season mambo yatakuwa magumu
.....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…