Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Dada umepata lunch!He hee kwani uongo sasa?
Dada umepata lunch!He hee kwani uongo sasa?
Ni uongo ndio madam, mimi nina kwangu na mke. Swala la usafi wa nguo baby mama wangu ndo anawajibika nalo siku zote.He hee kwani uongo sasa?
Bado kaka,umeivisha?Dada umepata lunch!
aaaaaah usijali boss![]()
![]()
Nimeshangaa kuuliza swali ambalo tayari una majibu yake.
Niwie radhi Mkuu hahaa...
Ops nilimaanisha ule wa mazingira...Ni uongo ndio madam, mimi nina kwangu na mke. Swala la usafi wa nguo baby mama wangu ndo anawajibika nalo siku zote.
Unauliza kama ameivisha, je kama anataka kukupeleka hotel nzuri kwa ajili ya kupata lunch.Bado kaka,umeivisha?
Mkuu mim mbona nizitoa sana likes hata nikimwona kapuku kulee jukwaani?Kulewa sifa ni kitu ambacho kitakuja kutuangusha siku si nyingi. Kuna wengine wamekuwa wakitoa likes kwa kujuana.
Ha haaa cha kupikiwa home ndio kitamu banaUnauliza kama ameivisha, je kama anataka kukupeleka hotel nzuri kwa ajili ya kupata lunch.
Mtaachiaga na bahati zingine za mtende.
Nimeto mapere mwili mzima, dk. kasema allergy ndo nadozika nw.Pole kwa maradhi, unasumbuliwa na nini tena?
Mara nyingi tu ila mpaka jioni maana asubuhi nakuwa job kumtafutia pesa.Ops nilimaanisha ule wa mazingira...
Hua unamsaidia mkeo kazi gani hapo home lakini?
nasubil maombi paroko.Nini tena mkuu, inua mikono juu upokee maombi
Hapana si kweli. Chakula cha hotelini ni kizuri na ni kitam balaa asikwambie mtu wewe.Ha haaa cha kupikiwa home ndio kitamu bana
Mie tena....doh siku hizi nimekuwa adimu hata humu sionekani sana, hizi lawama tumshushie nameless girl
Cha hotel naona sishibi vizuri kama cha homeHapana si kweli. Chakula cha hotelini ni kizuri na ni kitam balaa asikwambie mtu wewe.
Pole sana ndugu, Mungu akupe wepesi upone haraka.Nimeto mapere mwili mzima, dk. kasema allergy ndo nadozika nw.
hilo jina linavutiaMie tena....
Mie niko busy sana kuandaa kitabu kinaitwa Kiguu na njia. Ila humu jf sileti mana nikikatisha mtanoendea hata kwa babu hahahaaaa
Ni kweli kabisa mkuu.....Kulewa sifa ni kitu ambacho kitakuja kutuangusha siku si nyingi. Kuna wengine wamekuwa wakitoa likes kwa kujuana.
ameen kaka naelekea kupona siunaona navyopost.Pole sana ndugu, Mungu akupe wepesi upone haraka.
Ugua pole kaka.
Chunguza vizuri utagundua hiki nikisemacho.Mkuu mim mbona nizitoa sana likes hata nikimwona kapuku kulee jukwaani?