tupo babu shikamoo!! hajambo bibivijana naona mupo
Mimi pia silali mpaka nitupie ya 23k
Huyu kijana ana kihelehele kweli.Kijana uliaga hapa. Ulale sasa
Ohoo niko salama natafakari Ukuu wa Mungu hapa sebuleni ndgNafurahi kuona uwepo wako mchungaji, kwema lakin??
Hajarudi tena braza mpaka waleo, jamaa anaendelea kusubiri kama Wakristo wanavyomngojea Yesu Mwokozi kwamba atarudi.
![]()
![]()
we niulizie mimi bibi yako yako anakuhusu nini, vijana wa sikuhizi bhanatupo babu shikamoo!! hajambo bibi
Usingizi umekata namuwaza shemdarling lizziebettie.
Mwambie huyo maana Zimwi likujualo...Kijana jiangalie
huku niliko ni saa mbili asubuhi mkuuWee vipii? Huko uliko ni asubuhi?
![]()
![]()
sawa mkuu lakini mbona kwenye riwaya huniiti siku hiziwe niulizie mimi bibi yako yako anakuhusu nini, vijana wa sikuhizi bhana
cc: youngblood![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Wakati mwingine ni bora hata kumsubiri huyo yesu asee mana ye hapigi simu wala hatext ila kumsubiri mtu ambaye unajua yuko na simu yake alafu vile vimaneno romantic vya dia huvioni ni SHIDDA

Usitusahau kapukuz kwenye hyo tafakuri yako... AmenOhoo niko salama natafakari Ukuu wa Mungu hapa sebuleni ndg
Inaonekana na wewe ni walewale walioachwa kama youngblood.we niulizie mimi bibi yako yako anakuhusu nini, vijana wa sikuhizi bhana
Hawaii nini!huku niliko ni saa mbili asubuhi mkuu
doh siku hizi nimekuwa adimu hata humu sionekani sana, hizi lawama tumshushie nameless girlsawa mkuu lakini mbona kwenye riwaya huniiti siku hizi
Alitumbukia chooni mkuu!
California mkuuHawaii nini!
By Nay WamitegoShika adabu yako
Utachezea hii![]()