Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,557
Kazi gani tena ShuuKazi kwei kwei
Bado kuna habari kinga haimalizi hamu, Bado kuna hatari mpenzi ukimwacha na hamu.
-Mond-
Kazi gani tena ShuuKazi kwei kwei
OoohEti sababu tunaongea kilugha
kama kuna malipo nakuja kaka haina shida.Acha tu
Njoo Mabibo unisaidie kufuga bata![]()
Au unaonaje ?
![]()
![]()
![]()
......
Hahahanaona hajategemea kama unajua
Fanya hivyo usiwe mchoyoHahaa ila sio comanded kivile kama, kwa wanawake..
Lazima upige baibui nyeusiii ngoja nitawapiga picha
Bado kuna habari kinga haimalizi hamu, Bado kuna hatari mpenzi ukimwacha na hamu.
-Mond-
Nipo hapo kwenye hayo majengo sokoni ngoja nitoke nje niwapige pichaFanya hivyo usiwe mchoyo
![]()
![]()
![]()
.....
Sidhani km yupo seriousPole saaana
Usijali Mungu ni muaminifu utafanikiwa.... Usikate tamaa kabisaa, jitume, sali na mwamini Mungu pekee... Binadamu watadhihaki, watakucheka na kukukejeli lakini Mungu kamwe hatokuacha uaibike kamwe...
Sawa nashukuruSidhani km yupo serious
Anatuchezea tu akili ndo maana tumemjibu kimizaha
Mwanachuo hawezi andika vile
......
Si hiyo signature yako watu mna vituko jaman jfKazi gani tena Shuu
Bado kuna habari kinga haimalizi hamu, Bado kuna hatari mpenzi ukimwacha na hamu.
-Mond-
Ahahha anakudekea we mkewe jamanOooh
Aache kudeka nae
Hahaha
Umeonaee


Nimeona ndio mana mwanzo alikuuliza kwa uhakika unakijua kweliLakini huwezi jua... Ukweli anaujua yeye...Sidhani km yupo serious
Anatuchezea tu akili ndo maana tumemjibu kimizaha
Mwanachuo hawezi andika vile
......
Haaa mbona ya kitambo tu hii tena ukifungua na pc nimeiandika kwa rangi rangiSi hiyo signature yako watu mna vituko jaman jf
Siku nyingine km unataka kushauriwa kisiriazi basi jitahidi uandike kisiriaziSawa nashukuru
Haya bwanaNimeona ndio mana mwanzo alikuuliza kwa uhakika unakijua kweli
Sikuwepo hiyo mida ya kujilizaAhahha anakudekea we mkewe jaman
Ndo ivoLakini huwezi jua... Ukweli anaujua yeye...
Basi sawa ujumbe umewafikia wa mapenziHaaa mbona ya kitambo tu hii tena ukifungua na pc nimeiandika kwa rangi rangi
Bado kuna habari kinga haimalizi hamu, Bado kuna hatari mpenzi ukimwacha na hamu.
-Mond-
Tongozo jishaisha me sikunda mghoshi wa aina yeyoshe jf nzaumwa na nyoka nkiona nyasi ngashtukaHaya bwana
Endeleeni na tongozo