Makapuku Forum

Aisee big up sana Lee Wa demi na shunie


Mpaka hapo nishajifunza kitu safi sana yaani
 
Yaani ndio hivyo
Tupo hadi tunaosaidiana nje ya JF
Na tunaheshimiana na kutunziana siri tofauti na wanaJf wengine thread za kupakana matope kuhusu mambo yao ya nje ya JF zinajaa kila Siku
Sisi tupo kimya hatuna makuu na mtu nguzo yetu ni upendo na mshikamano
..... .....
 
Natamani siku moja ikiwezekana tukutane Kf wote somewhere tukanywa hata soda pamoja nitafurahi sana..Naomba hii one day itokee
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…