Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Vipiii dada unaguna we si unabisha jamanMmmmh
Vipiii dada unaguna we si unabisha jamanMmmmh
Nawapenda sana jamaan Mungu azidi kutuwekaAfadhali kafanya la maana,tunakupenda pia

Poa chalii yangu, mambo yakoMy crush?
Mamboo
Pouwa naaje?
Bye TSuuuuuuuu
Kesi hyo ww, chalii yangu huyo twakaribia kula pilaukaribu sana Shem wangu kwa T
Acha tu mkeo alinitishia mchana ukirudi mwakani usinijue kabisa kama kuna mtu anaitwa sakayoHahahaaa![]()

Ndiwoooo si yanga damu huyoShela la njano? Mmh
Ndio ukaamua kurudi..?Acha tu mkeo alinitishia mchana ukirudi mwakani usinijue kabisa kama kuna mtu anaitwa sakayo![]()
Kiasi fulani si mbaya,wale jamaa walinisaidiaPouwa...
Vitu viko settled eeh?
Thread zipi tena jamaan nilikuwa chit chat mieZile thread?
wachochezi hao ujueKesi hyo ww, chalii yangu huyo twakaribia kula pilau
Kesi hyo ww, chalii yangu huyo twakaribia kula pilau
woyooooooooo binamu come this way mpendwa wako kakulove
umeguraahi mwenyewe
Tutaonana mwakani jamaan Mungu akipendaByeee shunie..![]()

Mi Niko poa tu mpendwa wanguHusna! Uko poa mpendwa/mpenzi wangu