Makapuku Forum

Makapuku Forum

d5f8def1bae317a228a0b13c1fb0d31c.jpg

Nenda setting signature weka None
....
Aisee 50 per page bro huko ku-scrow ni hatari

Dreams never end by fear
 
Dikteta ana majukumu ya kikazi
Mimi Tangu J3 sipo vizuri kiafya ndo maana kumi kubwa siandiki pia kuna mambo yamebana
Trancescend kasema wazi kazi zimembana
Lee vitu vyake vipo pale pale
Obe Muziki upo km kawa
Shululu kila siku magazeti yapo
Jimena Kaziba pengo la Dikteta japo siyo sana
Shumie kuna majukumu yamembana
Kina Bailly, Husna Tumosa,Mama Mchungaji,Nyagei n.k mbona wapo mara mojamoja km kawaida yao

Ila pia akina Yuda hawajakosekana .....ndo hapo usemi wa pats shida umjue rafiki yako

Tukubali uzi upo kwenye kipindi kigumu na hii siyo mara ya kwanza kumbuka uzi una zaidi ya mwaka kinachofanya uonekana kwamba kumepoa sana ni uwepo wa uzi mwingine ambao unafanana na huu kila kitu yaani copy & paste .....hivyo km vile watu wanajisikia kulinganisha au kushindanisha kitu ambacho sisi hatujishughulishi nacho
Tuishi sisi km sisi no matter what
.............


Umenena vyema huu uzi kila wanaojaribu wanashindwa make kwanza utasikia wanataka wafanya kama makapuku ....wale chizi wa likes wenyewe wanashindana reply nadhani lakini kwa elimu kapuku mwanzo mwisho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom