Makapuku Forum

Makapuku Forum



Umenena vyema huu uzi kila wanaojaribu wanashindwa make kwanza utasikia wanataka wafanya kama makapuku ....wale chizi wa likes wenyewe wanashindana reply nadhani lakini kwa elimu kapuku mwanzo mwisho


...anko, nidai bia. Ila subiri kwanza nitoke kwenye maombi ya jioni

Yaani KF huwa sielewi inashindanishwa na sub forums nyingine kwa vipi. Kuna tofauti ya halua na urojo. Halua haichachi
 
Tena bendera kufuata upepo
Mkiwa wengi ni vigumu kuelewanana wala kufanya kitu chochote cha maana
Pia thread km imejaa ujinga/makorokoro/matakataka ni vigumu kwa watu kuanzisha mada za maana maana zitafunikwa tu na uchafu
Bora kuwa wachache tunaoelewana kuliko wengi halafu tunavurugana
.........
We mfano mzuri unaonekana tulivyo wamoja ...mtu hasipoonekana tu siku moja tunajua huyu hayupo kama ni kutafuta jinsi ya kumpata inafanyikaaa ..MUNGU HATUPE NINI ...

Lets our love shine forever
 
Ukizaliwa kiziwi mdomo utakuwa mzito maana mtu hujifunza kuongea kwa kuwasikiliza wengine
Wenye ma tatizo wengi ya kutokusikia hawajui kuongea kabisa
Ila kwa wale wanaoyapata ukubwani wakati tayari washajua kuongea huwa sio tatizo sana changamoto huwa kujifunza lugha za kigeni tu (English,Kifaransa n.k)
Dunia nzima ukizowi ni changamoto ......wengi huupata kutokana na matumizi ma baya ya dawa ,maambukizi kwenye sikio,ajali viwanda ni n.k
.......
Kama mm hapa

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom