Makapuku Forum


Kule sijui wako na akili gani cause kila mmoja anasema lake then wanataka kujifananisha na Kapuku's

Nabaki kushangaa tu
Kuna ndugu yetu mmoja siku hizi namuona yupo kule all the time sijui nini mbaya imetokea.

Dreams never end by fear
 
Mdau hapa ni mwiko kumzungumzia jirani
Tupo sisi kama sisi
Na kila mtu yupo free hakuna kanuni wala sheria ila unafiki ni kipaji kinachoruhusiwa kuendelezwa

. .......
 
Ni kweli
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…