Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Saana yaaniI see wanafanana
Saana yaaniI see wanafanana
Umesahau flana yako mdauTupo poa tu
...
Babu na mjykuu wake ndio wamefanana sanaBaba![]()
Kim Ii SungMwana![]()
Kim Jong IiMjukuu![]()
Kim Jong Un
......
Zile picha zote ni mtu mmojaWamefanana na mjukuu wake tu
UrongoooZile picha zote ni mtu mmoja
......
Ameni barikiwa pia mama mchuchuTunakushukuru Baba Mungu kutuamsha salama ,asante sana kwa wema wako,tutakase tuponye tuongoze ee Roho Mtakatifu uwe na si siku ya leo ,tutende mema ,tufanye kazi na pia tupumzike.
Tunawakabidhi kwako wagonjwa,wafiwa,wajane,wagane,wasafiri damuvya mwanao Yesu Kristo iwafunike wakuone wewe katikabmaisha yao,tupe moyo safi na wenye uvumilivu tunapokuwa na wenzetu,jirani zetu,wenza wetu,ndugu jamaa na marafiki tujinyenyekeze,tuwe na upendo wa kweli maana tukipenda wenzetu kati yetu Mungu yupo.
Asante Baba maana utatenda sawa na mapenzi yako Amen
SIKU NJEMA![]()
![]()
MBARIKIWE
Baba watoto wnguAmen, Asante kwa chakula cha kiroho mama mchungaji
Ubarikiwe sana
Ukimuona mkamate mkono tuleteeAfu huyo shedy jf anakuja ila humu kp ndio hsingii
Shemela hbr ya leoMorning to you kapuku
Na mpaka hapo basi sina la ziada kutoka kwnye Historia. Jina langu ni Jimena Jimenes. ... Kumbuka tu nilikuwa hapa kwa hisani ya sikukuu ya wakulima ya 7 7
Muwe na week njema na mapumziko mema. Ciao

Kumbe ndio siri ya mapanki yke![]()
Ndiye mwasisi wa NK yaani baba wa Taifa![]()
Ndiye babu wa dogo mapanki
Kim ananyoa panki kumuenzi tu na pia kujifananisha na ushujaa/ukatili wa babu yake
Hivyo ukistaahabu panki la mjukuu utaliona panki la babu yake
......
HatujamboNawasalimu wote
MmmhZile picha zote ni mtu mmoja
......
Asante, nawe pia shemeji
Huko hawachakachui, ukichakachua tu kesho unaliwa na mbwa, huko ni balaaWamefanana na mjukuu wake tu