Makapuku Forum

Makapuku Forum

Yaani hajuna dawa na zilizopo watu wanapewa dozi nusu nusu
Niliandikiwa dawa 3
Ya kwanza nikapwwa vidonge viwili tu
Ya pili vidonge 6
Ya tatu ndo sikupewa kabisa japo inauzwa 500/= tu
Yaani nilipewa dawa za kutumia Siku moja tu sio kitu cha kawaida
Inabidi mtu uhangaike na hospital kubwa ndo kuna nafuu
.....
Pole mdau Bitoz,inaumiza sana hasa unapokuwa umebanwa na unahitaji huduma
 
Leo katika Historia

8/7/2011 - Betty Ford anafariki Dunia.
Alikuwa ni mke wa Rais wa Marekani ndugu Gerald Ford.
4e903e51add0ee8fefcdd704d1646303.jpg
4ecb0cdbf5493aaf4317e00a56270ad7.jpg
Alikuwa na umri wa miaka 93 .....sio haba
......
 
Leo katika Historia:

8/7/1994 - Kim Il-Sung. Aliyekuwa Rais wa Korea Kaskazini anafariki Dunia.
453682430c190991ad608a1745c92d85.jpg
4efd335db7cdd55e6135c8954490600b.jpg
70f2110abde14d652a2b014f1c2c4de2.jpg
Ndiye mwasisi wa NK yaani baba wa Taifa
Ndiye babu wa dogo mapanki
Kim ananyoa panki kumuenzi tu na pia kujifananisha na ushujaa/ukatili wa babu yake
Hivyo ukistaahabu panki la mjukuu utaliona panki la babu yake
......

 
Ahsante
Samtaimu inatia hasira maana unaweza ukawa na bima ya afya mkononi halafu unaambiwa ukanunue dawa utadhani kadi yako ni ua au kitambaa cha kuvutia kwapa
......
Mbaya sana,niliwahi kwenda hospital binafsi niko tight,dawa zipo bima ya afya bei chini,namshukuru Mungu pharmacia ananifahamu akanambia nitop up kiasi pungufu ili nihudumiwe,maana dawa zenyewe ni za kuchoma ,ilibidi nifanye hivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom