Makapuku Forum

Makapuku Forum

9919a3ac64602f055e6772d6adcf2e2b.jpg



Naendelea kuuwa vijidudu vya Cancer..

Take some wine, get some wisdom
Mmmmh
 
Kuna tatizo mdau,Shunie kaaga asubuhi anatoka kwa muda,atarudi..ukweli imetushtua kutokana na mazoea na namna Shunie alivyo mshiriki mzuri,nilitamani kujua sababu hajaiweka wazi kwa mtu yoyote,kila mtu amekua anauliza so tumeona jambo jema tumuombee..kuna wakati mtu anahitaji time alone..imsadie kumpa amani na kuweka mambo yake sawa kiakili,kiroho nk hivyo tuungane kumwombea apate amani..asante
Asante Mamaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom