Makapuku Forum

Makapuku Forum

047aeee511e3d3be048a16879834974c.jpg
If you can't fight them join them...na wamefanikiwa sana na wanaproducts nyingi..strength ni kuungana
 
Na mengine kama......

Balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa asema jaribio la Korea Kaskazini kuzindua makombora ya masafa marefu inawakilisha wingu la mzozo duniani.

Viongozi katika eneo la Mandera nchini Kenya wavituhumu vyombo vya usalama kwa mauaji ya wakazi wa eneo hilo.

Rais wa Rwanda Paul Kagame aushutumu Umoja wa Ulaya kujiingiza katika masuala yanayohusu uchaguzi wa nchi hiyo.

Na kaburi la Mtunzi wa Wimbo wa Taifa wa Uganda lafukuliwa na watu wasio julikana, kukiwa na wasiwasi mabaki ya mwili wake yameiubiwa. ikiwa ni miaka mitano toka kuzikwa kwake.
Asante kwa mengineyo

ufukuzi huu wa makaburi kwanini?

Kuingilia uchaguzi kivipi..ninachofahamu kunauangalizi wa ndani na nje..kwa ajili ya kuona uchaguzi ubakua free and fair.Huru na Haki

makombora ya korea yataleta mengi tusiyoyajua.

Kwanini mauaji Mandera Kenya?Serikali iliangalie kwa karibu.
 
ISAYA 54

17.Kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa,na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa.Huu ndio urithi wa watumishi wa BWANA,na haki yao inayotoka kwangu mimi ,asema BWANA.

Mpendwa wangu,BWANA MUNGU anasema nasi asubuhi ya leo kumbuka unapoishi kuna changamoto nyingi na maadui wengi,maneno mengi ya kukatisha tamaa,mambo mengi ya kuturudisha nyuma na kutuvunja moyo yote haya Mungu Baba yetu anayajua na anapenda kutukinga nayo ,na hakika atatukinga..jambo la Muhimu kwetu ni kumtegemea yeye na kumuamini na kumuweka yeye kwanza na hapo kila jambo litakingwa naye...silaha zitakazoelekezwa kwetu hazitafanikiwa,maneno mabaya laana mikosi havitatupata kama tukijikabidhi kwake...jikabidhi kwake BABA siku zote za maisha yako upate urithi huu .hii ni Ahadi ya MUNGU kwetu..SHALOM
 
BABA asante kutuamsha salama tutakase,tuponye,tuhuishe tupe njia njema ya kukupenda na kukuheshimu..tunajikabidhi mikononi mwako siku ya leo tuondoe katika hatari mbalimbali na ajali mbalimbali..ponya wagonjwa,fariji wafiwa watie moyo waliovunjika moyo.Neema yako yatosha..tunaomba yote katika jina Yesu Amen

MCHANA MWEMA MBARIKIWE
Amen, Asante kwa neno mama mchungaji

Umeamkaje wewe pamoja na Familia yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom