Clkey
JF-Expert Member
- May 29, 2014
- 5,720
- 15,352
Kule naendaga Jumamos au jumapiliLe samaki tuu ndio mpango mzima hapo..?
Siku hizi umeacha kula Ugali mnafu maeneo ya Makao Mapya eeh?
Kule naendaga Jumamos au jumapiliLe samaki tuu ndio mpango mzima hapo..?
Siku hizi umeacha kula Ugali mnafu maeneo ya Makao Mapya eeh?
ZABURI 37
Kuna wakati tunafanya mambo na kuamini yatakuwa kwa nguvu zetu,mchana wa leo naomba nikutie moyo kwamba MUNGU yupo kutufanikisha,alituumba kwa makusudi,anatutunza kwa makusudi,anatuepusha na ajali mbali mbalina hatari zote kwa makusudi,anatuponya kwa makusudi maalumu,hata kuwepo hapa MAKAPUKU NI KWA MAKUSUDI...lipo kusudi la Mungu juu ya maisha yetu..TUSIKATE TAMAA..TUMKABIDHI YEYE NJIA ZETU,NA TUMTUMAINI ..KWA MUNGU YOTE YANAWEZEKANA...MCHANA MWEMA

Ubarikiwe mpendwa wangu asante sana
Amina jiraniZABURI 37
5.Mkabidhi BWANA njia zako pia umtumaini naye atafanya.
Kuna wakati tunafanya mambo na kuamini yatakuwa kwa nguvu zetu,mchana wa leo naomba nikutie moyo kwamba MUNGU yupo kutufanikisha,alituumba kwa makusudi,anatutunza kwa makusudi,anatuepusha na ajali mbali mbalina hatari zote kwa makusudi,anatuponya kwa makusudi maalumu,hata kuwepo hapa MAKAPUKU NI KWA MAKUSUDI...lipo kusudi la Mungu juu ya maisha yetu..TUSIKATE TAMAA..TUMKABIDHI YEYE NJIA ZETU,NA TUMTUMAINI ..KWA MUNGU YOTE YANAWEZEKANA...MCHANA MWEMA
![]()
![]()
![]()
![]()
AmenZABURI 37
5.Mkabidhi BWANA njia zako pia umtumaini naye atafanya.
Kuna wakati tunafanya mambo na kuamini yatakuwa kwa nguvu zetu,mchana wa leo naomba nikutie moyo kwamba MUNGU yupo kutufanikisha,alituumba kwa makusudi,anatutunza kwa makusudi,anatuepusha na ajali mbali mbalina hatari zote kwa makusudi,anatuponya kwa makusudi maalumu,hata kuwepo hapa MAKAPUKU NI KWA MAKUSUDI...lipo kusudi la Mungu juu ya maisha yetu..TUSIKATE TAMAA..TUMKABIDHI YEYE NJIA ZETU,NA TUMTUMAINI ..KWA MUNGU YOTE YANAWEZEKANA...MCHANA MWEMA
![]()
![]()
![]()
![]()
Nipo jirani karibuJirani mzima?ulipotea
Jana nimeshinda mitaa ya mahakama kuuNipo jirani karibu
Thalama kibumbuLee,sakayo,shunie,bitoz,SHIMBA YA BUYENZE,mkongo na makapuku wote heshima kwenu wakuu

AmenZABURI 37
5.Mkabidhi BWANA njia zako pia umtumaini naye atafanya.
Kuna wakati tunafanya mambo na kuamini yatakuwa kwa nguvu zetu,mchana wa leo naomba nikutie moyo kwamba MUNGU yupo kutufanikisha,alituumba kwa makusudi,anatutunza kwa makusudi,anatuepusha na ajali mbali mbalina hatari zote kwa makusudi,anatuponya kwa makusudi maalumu,hata kuwepo hapa MAKAPUKU NI KWA MAKUSUDI...lipo kusudi la Mungu juu ya maisha yetu..TUSIKATE TAMAA..TUMKABIDHI YEYE NJIA ZETU,NA TUMTUMAINI ..KWA MUNGU YOTE YANAWEZEKANA...MCHANA MWEMA
![]()
![]()
![]()
![]()

Napenda samaki na kaugali my dearView attachment 534616
Karibuni cha mchana wapendwa
Mm ugali napenda kula na mboga mbogaNapenda samaki na kaugali my dear
Never dear hapa kati nilitingwa,namshukuru Mungu amenivusha..huwa sikusahau nakuombea sanasana Love you mummyWaoooh tanx ma love,nilishangaa kweli nkasema umenisusaje hny

I seeMbona wamejaa tele
Sema gia zao zinatofautiana
Kuna waganga feki
Madokta feki
Mafundi feki
Wafanyabiashara feki
Madadapoa,
Makakapoa n.k
Kila mtu yupo JF kwa lengo lake...wengine kutafuta pesa kwa halali,wengine umaarufu,wengine likes,wengine kutapeli,wengine kutafuta marafiki,wengine kutafuta wapenzi,wengine kutafuta maarifa,wengine kubadilishana mawazo,wengine kutukana watu,wengine wanatumikia wanasiasa
Wengine wapowapo tu hawana malengo yoyote
JF ni kichaka
.......
Ameeen mamyZABURI 37
5.Mkabidhi BWANA njia zako pia umtumaini naye atafanya.
Kuna wakati tunafanya mambo na kuamini yatakuwa kwa nguvu zetu,mchana wa leo naomba nikutie moyo kwamba MUNGU yupo kutufanikisha,alituumba kwa makusudi,anatutunza kwa makusudi,anatuepusha na ajali mbali mbalina hatari zote kwa makusudi,anatuponya kwa makusudi maalumu,hata kuwepo hapa MAKAPUKU NI KWA MAKUSUDI...lipo kusudi la Mungu juu ya maisha yetu..TUSIKATE TAMAA..TUMKABIDHI YEYE NJIA ZETU,NA TUMTUMAINI ..KWA MUNGU YOTE YANAWEZEKANA...MCHANA MWEMA
![]()
![]()
![]()
![]()
wewe umesimamia wapi hapo mdauMbona wamejaa tele
Sema gia zao zinatofautiana
Kuna waganga feki
Madokta feki
Mafundi feki
Wafanyabiashara feki
Madadapoa,
Makakapoa n.k
Kila mtu yupo JF kwa lengo lake...wengine kutafuta pesa kwa halali,wengine umaarufu,wengine likes,wengine kutapeli,wengine kutafuta marafiki,wengine kutafuta wapenzi,wengine kutafuta maarifa,wengine kubadilishana mawazo,wengine kutukana watu,wengine wanatumikia wanasiasa
Wengine wapowapo tu hawana malengo yoyote
JF ni kichaka
.......
mmmh! haya buana..View attachment 534616
Karibuni cha mchana wapendwa
Ameni.. Ubarikiwe mama mchuchuZABURI 37
5.Mkabidhi BWANA njia zako pia umtumaini naye atafanya.
Kuna wakati tunafanya mambo na kuamini yatakuwa kwa nguvu zetu,mchana wa leo naomba nikutie moyo kwamba MUNGU yupo kutufanikisha,alituumba kwa makusudi,anatutunza kwa makusudi,anatuepusha na ajali mbali mbalina hatari zote kwa makusudi,anatuponya kwa makusudi maalumu,hata kuwepo hapa MAKAPUKU NI KWA MAKUSUDI...lipo kusudi la Mungu juu ya maisha yetu..TUSIKATE TAMAA..TUMKABIDHI YEYE NJIA ZETU,NA TUMTUMAINI ..KWA MUNGU YOTE YANAWEZEKANA...MCHANA MWEMA
![]()
![]()
![]()
![]()
Arsenal wanakaribia kutangaza usajili wa winga kutoka Algeria, Riyad Mahrez, 26 ambaye anaichezea Leicester City (Calciomercato).
Arsenal huenda wakakamilisha usajili wa Alexandre Lacazette, 26, katika saa 48 zijazo kwa mujibu wa rais wa Lyon Jena-Michel Auylas (Le Progress).
Paris Saint Germain wamemuulizia kiungo wa Liverpool Philippe Coutinho, 25, huku Liverpool wakisema mchezaji huyo kutoka Brazil ana thamani ya pauni milioni 87 (Daily Mirror).
Chelsea wana matumaini wataweza kufanikisha mpango wa kumsajili beki wa kushoto kutoka Brazil, Alex Sandro, 26, huku mazungumzo na Juventus yakitarajiwa kufanyika Jumatatu (Daily Telegraph).
Antonio Conte anakabiliwa na ushindani kutoka Manchester City katika kutaka kumsajili beki wa kati wa Roma Antonio Rudiger, 24. Barcelona pia wanataka kumsajili Leonardo Bonucci, 30, ambaye Chelsea wanamtaka, na Juventus wamempa mkataba mpya Sandro ili kumshawishi asiondoke (Daily Mirror).
Jurgen Klopp ameiambia Liverpool kuongeza bidii katika kumsajili kiungo wa RB Leipzig Naby Keita, 22, ambaye atakuwa na mazungumzo na klabu yake kuhusu mustakbali wake nchini Ujerumani (Times).
Kocha mkuu wa Monaco Leonardo Jardim ana matumaini kuwa Kylian Mbappe, 18, hataondoka, lakini amekiri kuwa wachezaji wengi huenda wakaondoka msimu huu (RMC).
Tottenham wamepanda dau kwa mara ya pili la pauni milioni 27 kumtaka kiungo wa Sporting Lisbon Adrien Silva, 28, (A Bola).
Chelsea wamemuulizia beki wa Real Madrid Danilo, 25 (Marca).
Beki wa Paris St-Germain anayenyatiwa na Manchester City, Marquinhos, 23, amesaini mkataba mpya wa mude mrefu kubakia Ufaransa (Independent).
Newcastle wanafikiria kumchukua beki wa Arsenal Kieran Gibbs (Daily Mirror).
Paris Saint-Germain wamemuulizia kiungo mshambuliaji wa Liverpool Philippe Coutinho, huku Barcelona pia wakimnyatia mchezaji jhuyo kutoka Brazil (Daily Mirror).