Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Shunie acha tuu
Shunie acha tuu
Huelewi niniSijaelewa hapa mama T
Kumbe anaogopa kwa hiyo hajikubali alipo kisa chips yai
chips yai na mayonaiseHahaha![]()
![]()
ila kaka we ni mchochezi hiyo mistari kamkumbuka zilipendwa wake jamaan moyo huo sina jamaan
Sawa sakayo nimekwelewa![]()
![]()
ila kaka we ni mchochezi hiyo mistari kamkumbuka zilipendwa wake jamaan moyo huo sina jamaan
Hahaha
Yaani nimecheza mpaka nguo zimedondoka....
Aisee darisaaaallaaammmm hukooo hukooo hukooo ilikoooo....
Aisee wee mtu ahadi yako ya kunipeleka dar badooo
naniii huyo zilipendwa nakufwa kwa kucheka
Dada mie zilipendwa tukifunga ukurasa biashara imeisha jamaan sitakukumbuka kwa chochoteShunie acha tuu

HahahaUjue mguno wako nikiuona sina mbavu mie
Unamtania mme mweee auUsiku upiii tena nikitoka si huwa nakwambia
Yaani hawa watu ndo wanatutengenezea vizazi maskini maana unakauta kijana ameoa lakini bado anaishi kwa wazazi wake ukiuliza unaambiwa ndo tamaduni zaoNa huo ndo ukweli kabisaa
Namtania shemela wangu mie ndio utani wa kapuku etiUnamtania mme mweee au
Mweeeuuuh weweeNamtania shemela wangu mie ndio utani wa kapuku eti
Akiii dada nikiuona tu mbavu sinaHahaha
We furahi tuu
Hapa nimekumbuka na diamond kawaletea na karanga![]()
![]()
chips yai na mayonaise
Hahaha![]()
![]()
![]()
![]()
naniii huyo zilipendwa nakufwa kwa kucheka
Kweli humu vinavochekesha ni vingi sasa mm nmesahau ni kipi![]()
![]()
![]()
mke mweee

Mie Siwezagi maana ni tunaachaana kwa uzuri... Halafu ni ujana kweeeli.... Ukiambiwa game tuu basi tunaachaanaDada mie zilipendwa tukifunga ukurasa biashara imeisha jamaan sitakukumbuka kwa chochote![]()
![]()