Pia ni miongoni mwa watu wa mwanzo kuwashirikisha kuhusu uzi huu wengine ni EMYDUY,Sissya, baadhi majina nimewasahau
Japo waanzilishi wakuu ni Bailly,Jimena na mimi.....maana hata kabla ya wao kuja chemba sisi wa3 tulikuwa tayari ni marafiki wa JF na tulishaelewana kuanzisha kijiwe ila tukashirikisha na mawazo ya wengine baada ya izi kuanza
Duh ukiziangalia post zake kule mwanzoni utaelewa
.......