Poa mkuu, upumzike salama pia... Tukutane tena baadae hapa hapaUsiku Mwema Makapuku wote, mlale salama.
Nawapenda wote.
Hapana shaka Mkuu, macho yamekuwa mazito.Poa mkuu, upumzike salama pia... Tukutane tena baadae hapa hapa
Hapo unahitaji pumziko tu mkuu hakuna namnaHapana shaka Mkuu, macho yamekuwa mazito.
Karibu tena brazaHodi hodi humu ndani😱
Goodmorning to you my family
Good morning brother.Goodmorning to you my family
Unajificha sana kakaGoodmorning to u bro!! Long tym.no talk
Karibu mkuu.Hodi hodi humu ndani😱
Niko poa kabisa. Hofu kwako kakaGood morning brother.
Hope uko poa kabisa.
Karibu tena braza
Mimi mzima kabisa.Niko poa kabisa. Hofu kwako kaka
Mengi tu wageni wapya, watu walikuwa wanajadili jinsi ya kupata pesa kwa njia ya vikundi.Brother humu lipi limejiri?!
Unajificha sana kaka
Karibu mkuu.
Umepotea sana.
Nilikuwa porini wakuu....mtandao unasoma G tu😱😱
pole.Karibu sanaNilikuwa porini wakuu....mtandao unasoma G tu😱😱
Mengi tu wageni wapya, watu walikuwa wanajadili jinsi ya kupata pesa kwa njia ya vikundi.
Ni hivi watu walitaka kuanzisha kama saccos hivi. Ila kama MTU yupo tayari anaweza. Jiunga pia kuna mapendeko kuhusu mambo ya kilimo. Pia hitisho ni kwamba kwenye swala LA hela uaminifu lazima sana. Ila bado watu wanajipangaDaah!! Nimemiss ishu moja muhimu...vip brefing ya conclusion si unaweza ukanidondoshea?