Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Shukrani mkuu jimena jimenesNa mpaka hapo basi leo katika Historia haina la ziada... Niite Jimena Jimenes kumbuka tu segment hii imeletwa kwenu chini ya udhamini wake na Bitoz na kati ya Joto city
Hadi wakati mwingine....... Adios amigo
Morn tooGood morning homie
Tunakimbiza mwizi kimya kimya
Hawatafikia level hizi hata wakikesha
Amen ,powerfulMaisha ni jinsi ulivyoigusa mioyo ya watu sio miaka uliyoishi
Au tuseme Mali/mchango wako kwa familia/ndugu/jamaa/marafiki
Mi best friend wangu alifariki akiwa na miaka 20 tu ila bado anaishi moyoni kwangu na nikijaaliwa mtoto wa kiume nitampa jina lake ili kumuenzi
........
Kila mtu ana umri wake wa kuishiRIP Ameondoka mdogo,pamoja na mazoezi ya kutosha,mpango wa Mungu huwezi zuia
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Miss you tooMorning makapuku wenzangu nimewamiss mno wakuu!
Hata sisi tunakumiss sana
Ubarikiwe sana
Na siku njema kwako
WaoooooHabari za asubuhi wadau
.....
Kisa cha kucheka??
HV hii ina maana gn? Au ni jina lake lingine?!Asante ankali kwa historia
Huyo ndo mapanki
Roho mbaya alianza wakati akinyonya
Ujasiri alianza wakati akitambaa
Mbwembwe alianza alipojua kutembea
Ubabe alijifunzia Ikulu babaye akiwa rahisi
Na mzuka umempanda zaidi Trump alipoingia White House
Mapanki endelea tu
.....
Na makucha yakesalama tu mdau, kumekucha..
Mbona hatujawahi kukuona humu
Au unapitaga kimyakimya
Fresh tu mdau
...
Morning mpendwa wa Obe
Aiiii...mbali banaaaWekeend
Trump na mapanki ni km babu na mjukuu wake. Sasa cjui nani atawini naona km babu anaanza kujamba chechemajamaa awana muungano na nchi nyingine yoyotr lakini wanampa wasiwasi kinoma huyo trump!
Kikuchekeshacho?
Mmmmmmh...!!!!Good morning my demi
Na wana brass band ukiwakuta kwenye ibada zao ni kushoto kulia ukakamavu ,naona wakati wa mazoezi ya kwaya na pushapu zinapigwa