shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Shemela kwi kwi kwiMimi apa Bitoz jamaan za wewe
Shemela kwi kwi kwiMimi apa Bitoz jamaan za wewe
Itakuwa wewe na LeeHuyo dada kibonge kama mie jamaan![]()
HahahaDada nimekoma mie sasa hivi mwendo wa hiviii![]()
![]()
nyaku nyaku kila sehemu
Mie sio mke mwenzako jamaan we kama umeamua kuingia ingia tuMke mwenza habari yako!
DuuuSiwezi mie
Chillax banaa! Kizuri kula na mwenzioMie sio mke mwenzako jamaan we kama umeamua kuingia ingia tu
Dada kaniita shemelaKweli umekuja, sauti ya Dada inatisha
Kwa ubaya wangu nnNaomba usinisemeshe Lee
Hivi hujapelekwa tu kwenye shangaHongera jamaan
Mume wangu sio wa kuonyesha naniliu yake kwa kila mwanamkeAnatamani huyoo...
Mm mke mkubwa alikuwa na taarifa ila hakujua ni lini na ninavyompenda nkamfanyia suprise
Ya pili sio bahati ni msala
Bhinamu natambua uwepo wako
Shemela unafurahi nini jamaanShemela kwi kwi kwi
Inawezekana shemelaItakuwa wewe na Lee
MwenzanguKwahiyo masikini humu mie na wewe tu dada![]()
Kwangu hakunaga hiyoChillax banaa! Kizuri kula na mwenzio
Asante, chakula hicho kwa wewe sawa, ila mimi hapana aisee, hasa hizo chips

Hivi hujapelekwa tu kwenye shanga
shemela ebu niache jaman ninazo hapa 700 