Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ya pili sio bahati ni msala
Bhinamu natambua uwepo wako


Ha hahahahah, anko bhana, ukiongelea msala sasa hapo ndo balaa. Yaani anko kwako sio msala ni misala yaani wingi wake.

Nami natambua uwepo wako anko. Natumaini uko salama kabisa na kila kitu kimeenda poa kabisa.

upande wangu, ndo kama hivyo, yaani niko kama beki wa kushoto, napanda na kushuka kama ....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom