Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mi hata uongeze watatu...nakupenda tu!
lateforwork16.gif
 
Ha hahahahah, anko bhana, ukiongelea msala sasa hapo ndo balaa. Yaani anko kwako sio msala ni misala yaani wingi wake.

Nami natambua uwepo wako anko. Natumaini uko salama kabisa na kila kitu kimeenda poa kabisa.

upande wangu, ndo kama hivyo, yaani niko kama beki wa kushoto, napanda na kushuka kama ....
Bhinamu pole

Naomba nikutambulishe kama tulivopanga najua ulikuwa unamficha shunie lakin leo yametimiaa ...

Demi aunt yako mdogo...

Na kuonesha usiliasii ile lain ya zain nimeivunjaa sitaki kutafutwaa...waambie kaendaa msitunii kuchoma mkaa
 
Bhinamu pole

Naomba nikutambulishe kama tulivopanga najua ulikuwa unamficha shunie lakin leo yametimiaa ...

Demi aunt yako mdogo...

Na kuonesha usiliasii ile lain ya zain nimeivunjaa sitaki kutafutwaa...waambie kaendaa msitunii kuchoma mkaa


....eeh, sasa mbona unanitambulisha jioni wakati ndo unajua ile safari ya kiga imeiva, unaona sasa aunt yangu tayari keshanisemea mbovu na vitisho chekwa kuwa Kigamboni hakuendeki.

Hivi anko wangu unanitakia mema kweli wewe au ndo unataka kunitoa roho?

Ile laini kama umeivunja ntawapa ya landline ndo ujue huu utambulisho sikubaliani nao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom