Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
HawezShunie ukuje huku
Ndio hivyoHata kama jamaniii
Umetekwaaa ??Leo hakuna kumi kubwa
Nipo maeneo korofi yasiyoniwezesha kuandika mada
......
T keshasikia napgopa kuja PM
Where is Shumy ?
......
shuny yupo banned
Uongo kwanii??Hahaa
Ya pili sio bahati ni msalaEwaaaaa! Bahati haiji mara mbili
Huna mpango wa kuongeza ??
My cookieThank uuu
My Lucious..My mume!My cookie
CjamboKwema kabisa. Wewe u khali gani?
Shikamoo DadaShunie ukuje huku
Wengine wapo wapo tu
![]()
![]()
![]()
Nilikuwa hapa
Darasa la kupigilia pamba kijanja
Hebu cheki hapa mtu anatokwa povu....kisa? Lengo lake ?
Mtu nimemwambia hakuna uhusiano kati ya uvaaji wa mtu na pesa ila anakoroma tu labda anataka aonekane yeye ni mtu wa maana
JF bhana !!!
.......
AhahahhhhNisamehe tu mume wangu, si unajua sura yenyewe ya babaa.... Sijuii vidume haviogopiii
Mimi apa Bitoz jamaan za weweT keshasikia napgopa kuja PM
Where is Shumy ?
......
Huyo dada kibonge kama mie jamaan

Kweli baba d hongera sana ila mitala siiwezi najitoaSi unaonaga shunie ananiita kidume ..![]()
![]()
Kwakweli mie mwenyewe siweziHahaha
Na kweeli, hilo la mke mdogo Mmmmh....
T chepuuka tu urudi mume wangu, ukewenza siuwezi mieee