Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia
3/7/1989 - Godfrey Walusimbi. Mchezaji wa mpira wa Miguu toka Nchini Uganda anazaliwa.
14a3b4560c76a1f79e3903bd60f1bfe9.jpg
e7c14f456f728b76e7ef45990ddc9582.jpg
Anakipiga For Mania ya Kenya
......
 
Katika dondoo za bbc. ..baadhi ni ....



Viongozi wa nchi tano za Afrika Magharibi wazindua jeshi la pamoja kupambana na wapiganaji wenye itikadi kali kwenye eneo la Sahel.

Qatar leo inatarajiwa kutoa majibu juu ya madai ya nchi za Kiarabu kuhusu nchi hiyo kuunga mkono ugaidi.

Rais wa Burundi Pierre Nkurunzinza atangaza kuwa uchaguzi mkuu ujao utaandaliwa kwa kutumia uwezo wa ndani, huku wananchi wakitakiwa kuchangia.
Thank you kwa dondoo za BBC
 
Afya... UKWELI MCHUNGU...
Binadamu akishafika miaka 30 mwili wake unaanza kufifia... na karibia mfumo ( systems ) mingi sana ya mwili ndio huwa katika kilele cha ufanisi na baada ya hapo ndio huanza kupungua hadi kifo. kikawaida hata mtu asipougua kabisa, kuna umri seli zake hukoma kujigawanya ( kujizalisha )

na baada ya hapo inafatia mifumo kushindwa kufanya kazi na hatimaye kifo ( cha uzee )

uzee nao hauna miaka ... binadamu tunatoautiana kasi ya seli kugawanyika... hi inachangiwa na chakula...na mazingira...

nataka kukushauri kwamba ukishafikia miaka 30 anza kupunguza baadhi ya vitu vinavyochosha mwili... mfano vile na sigara...na machemichali ya ajabu ajabu...

#Thinking_loud
Kumbe we ni DAKTALI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom