Makapuku Forum

Makapuku Forum

5845780ef44cccf9aac9fb74fb78ba3e.jpg
 
Katika dondoo za bbc. ..baadhi ni ....



Viongozi wa nchi tano za Afrika Magharibi wazindua jeshi la pamoja kupambana na wapiganaji wenye itikadi kali kwenye eneo la Sahel.

Qatar leo inatarajiwa kutoa majibu juu ya madai ya nchi za Kiarabu kuhusu nchi hiyo kuunga mkono ugaidi.

Rais wa Burundi Pierre Nkurunzinza atangaza kuwa uchaguzi mkuu ujao utaandaliwa kwa kutumia uwezo wa ndani, huku wananchi wakitakiwa kuchangia.
 
TUOMBE:Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu tunakushukuru kutuamsha salama ,tunaomba ututakase utusamehe yote tuliyokosea kwa mawazo,maneno ,matendo...mwezi huu wa saba na wiki hii tunajikabidhi mikononi mwako tunaomba utuepushe na magonjwa,mateso,shida ,dhiki na kukata tamaa vyote visitamkwe kwetu.

Tunakabidhi kazi zetu,familia ndoa na mipango yetu mikononi mwako,uwe nasi siku zote tutetee Mfalme wa Amani.

Imarisha AMANI kila mahali hasa katika eneo la KIBITI BABA ingilia kati ,sema neno Baba takasa eneo hili.

Tunaomba utusaidie hapa MAKAPUKU kuwa na Upendo ,Mshikamano na kuchukuliana adui asitutenge.

Tunawaombea watoto wetu wengi wanafungua shule siku yaleo waongoze Baba popote walipo kuza ufahamu wao,wajitambue wakushike wewe na uwe kimbilio lao katika mambo yote ya kimwili na kiroho adui asiwateke.

Bariki wasafiri popote waendapo DAMU YA YESU IWAFUNIKE Angani,Majini,Nchikavu

Asante BABA maana utatenda sawa na mapenzi yako.Katika jina la Yesu Amen SIKU NJEMA
Ameni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom