Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
![]()
![]()
safari ya kigamboni ileeee inaota mbawa
Hayo maneno sijaandika Mimi, kwanza Tukuyu hata sijawahi kupafika. Ndo wapi
![]()
![]()
safari ya kigamboni ileeee inaota mbawa
TUOMBE:Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu tunakushukuru kutuamsha salama ,tunaomba ututakase utusamehe yote tuliyokosea kwa mawazo,maneno ,matendo...mwezi huu wa saba na wiki hii tunajikabidhi mikononi mwako tunaomba utuepushe na magonjwa,mateso,shida ,dhiki na kukata tamaa vyote visitamkwe kwetu.
SIKU NJEMA

Aminaa mama mchungaji. ..Asante kwa baraka ...TUOMBE:Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu tunakushukuru kutuamsha salama ,tunaomba ututakase utusamehe yote tuliyokosea kwa mawazo,maneno ,matendo...mwezi huu wa saba na wiki hii tunajikabidhi mikononi mwako tunaomba utuepushe na magonjwa,mateso,shida ,dhiki na kukata tamaa vyote visitamkwe kwetu.
Tunakabidhi kazi zetu,familia ndoa na mipango yetu mikononi mwako,uwe nasi siku zote tutetee Mfalme wa Amani.
Imarisha AMANI kila mahali hasa katika eneo la KIBITI BABA ingilia kati ,sema neno Baba takasa eneo hili.
Tunaomba utusaidie hapa MAKAPUKU kuwa na Upendo ,Mshikamano na kuchukuliana adui asitutenge.
Tunawaombea watoto wetu wengi wanafungua shule siku yaleo waongoze Baba popote walipo kuza ufahamu wao,wajitambue wakushike wewe na uwe kimbilio lao katika mambo yote ya kimwili na kiroho adui asiwateke.
Bariki wasafiri popote waendapo DAMU YA YESU IWAFUNIKE Angani,Majini,Nchikavu
Asante BABA maana utatenda sawa na mapenzi yako.Katika jina la Yesu AmenSIKU NJEMA
![]()
![]()
![]()
OyooSakayo mama nakusubiria tupashane mapemaaa
Twende zetuSakayo mama nakusubiria tupashane mapemaaa
Morning shem darlingSakayo mama nakusubiria tupashane mapemaaa
Poa PoaSoon UF ...ila kwanza simuliziiii
Kama kawaida ...hope umeamka salamaMorning shem darling
Niko Poa kabisaaKama kawaida ...hope umeamka salama