Makapuku Forum

Makapuku Forum

Afya... UKWELI MCHUNGU...
Binadamu akishafika miaka 30 mwili wake unaanza kufifia... na karibia mfumo ( systems ) mingi sana ya mwili ndio huwa katika kilele cha ufanisi na baada ya hapo ndio huanza kupungua hadi kifo. kikawaida hata mtu asipougua kabisa, kuna umri seli zake hukoma kujigawanya ( kujizalisha )

na baada ya hapo inafatia mifumo kushindwa kufanya kazi na hatimaye kifo ( cha uzee )

uzee nao hauna miaka ... binadamu tunatoautiana kasi ya seli kugawanyika... hi inachangiwa na chakula...na mazingira...

nataka kukushauri kwamba ukishafikia miaka 30 anza kupunguza baadhi ya vitu vinavyochosha mwili... mfano vile na sigara...na machemichali ya ajabu ajabu...

#Thinking_loud
 
Afya... UKWELI MCHUNGU...
Binadamu akishafika miaka 30 mwili wake unaanza kufifia... na karibia mfumo ( systems ) mingi sana ya mwili ndio huwa katika kilele cha ufanisi na baada ya hapo ndio huanza kupungua hadi kifo. kikawaida hata mtu asipougua kabisa, kuna umri seli zake hukoma kujigawanya ( kujizalisha )

na baada ya hapo inafatia mifumo kushindwa kufanya kazi na hatimaye kifo ( cha uzee )

uzee nao hauna miaka ... binadamu tunatoautiana kasi ya seli kugawanyika... hi inachangiwa na chakula...na mazingira...

nataka kukushauri kwamba ukishafikia miaka 30 anza kupunguza baadhi ya vitu vinavyochosha mwili... mfano vile na sigara...na machemichali ya ajabu ajabu...

#Thinking_loud
Asante husna kwa kujali afya zetu
 
Afya... UKWELI MCHUNGU...
Binadamu akishafika miaka 30 mwili wake unaanza kufifia... na karibia mfumo ( systems ) mingi sana ya mwili ndio huwa katika kilele cha ufanisi na baada ya hapo ndio huanza kupungua hadi kifo. kikawaida hata mtu asipougua kabisa, kuna umri seli zake hukoma kujigawanya ( kujizalisha )

na baada ya hapo inafatia mifumo kushindwa kufanya kazi na hatimaye kifo ( cha uzee )

uzee nao hauna miaka ... binadamu tunatoautiana kasi ya seli kugawanyika... hi inachangiwa na chakula...na mazingira...

nataka kukushauri kwamba ukishafikia miaka 30 anza kupunguza baadhi ya vitu vinavyochosha mwili... mfano vile na sigara...na machemichali ya ajabu ajabu...

#Thinking_loud


....kweli aisee, nimeamua kupunguza vitu vinavyochosha mwili. Nimeanza na nyweli, nazikata kila wiki, na kunyoa pale ninapoona mwili unachoshwa.

Asante lwa ushauri Husna mpendwa wangu. Umeamka salama lakini
 
Leo katika Historia
3/7/1997 - Amado Carrillo Fuentes. Muuza madawa ya kulevya mashuhuri toka Mexico afariki Dunia.
78129a829c0beb082993fd95391e1ca1.jpg
e6099c59c1de3521318a441ca457a5e9.jpg
Huyu jamaa alikuwa mfanyabiashara a.k.a Don mkubwa wa Juarez Cartel mara tu baada ya kumuua boss wake na kujitwalia ufalne
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom