Makapuku Forum

Makapuku Forum

.....duh, leo sikutokea bhana si unajua usiku kuamkia leo kulikuwa na kigodoro mtaani afu kuepukana nacho nikaenda sehemu kupongezana kwa kumaliza funga. Basi ni kufungua vizibo tu hadi nikasikia adhana ndo nikajirudisha
Jioni hii, naelekea kutizama game hapa mizinga
Mmmmmh!!!! Mama mchungaji anakupenda sana mpendwa sema ni hivi vistory vyako vya kiselasela ndio vinakuangusha



Unapofukuzia mwanamke angalia huyo mwanamke ni mtu Wa aina gani,_ex: km ni mchamungu basi na wewe itabidi na ww ujifananishe nae kuongea na vingine viendane na uchamungu


Sasa wewee mpendwa wangu km upo serious itabidi uact ulokole banaa




SMILE JESUS LOVES YOU
 
Mmmmmh!!!! Mama mchungaji anakupenda sana mpendwa sema ni hivi vistory vyako vya kiselasela ndio vinakuangusha



Unapofukuzia mwanamke angalia huyo mwanamke ni mtu Wa aina gani,_ex: km ni mchamungu basi na wewe itabidi na ww ujifananishe nae kuongea na vingine viendane na uchamungu


Sasa wewee mpendwa wangu km upo serious itabidi uact ulokole banaa




SMILE JESUS LOVES YOU


Nilikumiss, unajua hilo lakini?
 
Mmmmmh!!!! Mama mchungaji anakupenda sana mpendwa sema ni hivi vistory vyako vya kiselasela ndio vinakuangusha



Unapofukuzia mwanamke angalia huyo mwanamke ni mtu Wa aina gani,_ex: km ni mchamungu basi na wewe itabidi na ww ujifananishe nae kuongea na vingine viendane na uchamungu


Sasa wewee mpendwa wangu km upo serious itabidi uact ulokole banaa




SMILE JESUS LOVES YOU
 
.....duh, leo sikutokea bhana si unajua usiku kuamkia leo kulikuwa na kigodoro mtaani afu kuepukana nacho nikaenda sehemu kupongezana kwa kumaliza funga. Basi ni kufungua vizibo tu hadi nikasikia adhana ndo nikajirudisha
Jioni hii, naelekea kutizama game hapa mizinga
We rafiki yangu una mashaka kweli kweli .. Yaani unasherekea kukamilisha funga kwa kwa kufungua vizibo?
 
Mmmmmh!!!! Mama mchungaji anakupenda sana mpendwa sema ni hivi vistory vyako vya kiselasela ndio vinakuangusha



Unapofukuzia mwanamke angalia huyo mwanamke ni mtu Wa aina gani,_ex: km ni mchamungu basi na wewe itabidi na ww ujifananishe nae kuongea na vingine viendane na uchamungu


Sasa wewee mpendwa wangu km upo serious itabidi uact ulokole banaa




SMILE JESUS LOVES YOU
Aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom