Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Halikosi chawa hilooBhinamu wabaya wote niachie mm nakula nao chapati mojaaa kama sio kitumbua. ...
Sasa ningelifanyajee make ukishaipeleka kule ningeliipataaa.....???
Koti langu liachee na uchafu make sasa lishakuwa reservior ya pafyumu ...nalifunika kwenye begiii ata boxer inanunukiaa
Husna, mpendwa wangu mwenyewe, asante kwa maua.
Ushauri ulionipa pale juu naufanyia kazi ila ni ngumu kuutekeleza, najua naweza kufanya fake life, pretence. Lakini mwisho wa siku narudi kuwa me.
Usela, no, sio msela mimi sema napenda kuyafanya maisha yangu kuwa rahisi na yenye furaha.

Safari njemaNdio naendaaa mm
MfafuteeeeNina ujumbee wakee
Kumbe kweli!!!!!
Sisi sio wa mchezooooWaacha wee mmehama viwanja et
Rainyundo mkubwa wa soka letu yuleKweli Malinzi alikuwa kikwazo aisee yn Rumande cku 2 tu tumeshaaanza kuifunga S.A je angefungwa mwaka c tungeshachukua WORLD CUP![]()
Akya kya kya kya kya kya kya kya kya kya kya kya kya kya kya kya kya kya kyaKweli Malinzi alikuwa kikwazo aisee yn Rumande cku 2 tu tumeshaaanza kuifunga S.A je angefungwa mwaka c tungeshachukua WORLD CUP![]()
Hahaha lol bado nakumbuka asubuh ulivyosema leo kichwa cha mwendawazimu wanachezaRainyundo mkubwa wa soka letu yule
....
GoodHusna, mpendwa wangu mwenyewe, asante kwa maua.
Ushauri ulionipa pale juu naufanyia kazi ila ni ngumu kuutekeleza, najua naweza kufanya fake life, pretence. Lakini mwisho wa siku narudi kuwa me.
Usela, no, sio msela mimi sema napenda kuyafanya maisha yangu kuwa rahisi na yenye furaha.