Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Kimenuka kulee.. Cute b kalianzishaNimeuona aisee husna kanihalibia sana jina
Kimenuka kulee.. Cute b kalianzishaNimeuona aisee husna kanihalibia sana jina
Marahaba mwanangu nipo..siku hazifanani yaani kunawakati mambo yananizidiiii
Yule baba ni ana matusi acha nikae kimya tu sihitaji ban kwakweliKimenuka kulee.. Cute b kalianzisha
Woyoooooo binamu ukujeeee mama mchuchu leo kafurahiii kutoka kumoyooo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
AiseeeeYule baba ni ana matusi acha nikae kimya tu sihitaji ban kwakweli
Kila mtu na kipaji chake shunie..
Katika vitu nilivyokosa maishanj mwangu na hua naumia sana kuvikosa ila ndio Mungu kaniumba hivyo ni kuongea..Yaani sijui kabisaaa hata kupiga stori na watu mda wote nipo kimya pekee angu.Mtu nayeweza kuongea nae bila kukwaruza ni mama tu!! Hata baba hua ni salam tu maana nayy ni mtu wa kukaa kimya..Nikikumbuka mara ya kwanza kufanyiwa intaviu hua nabak najicheka tuu maana sijui khjitetea yaani siku nikipata kesi baasi jela inanihusu hata kama kosa sikutenda..
Bahat nzuri nilijaliwa upole na Aibu kiasi..
Nilireport kwa modsAiseeee
Uzi umefutwa bhana, nilikuwa nikeshe pale rubii na cute
Sawa binamu basi nawe ujiongeze binamu yangu umpe mauwa mama mchuchu kigamboni tunaenda ebu jiongeze kwanza...nipo kabisa, anajua nilimmiss tangu alhamis. Ila please twende Kgmbn usinitose aunt
Shaka ondoaa kabisaaa ....weew si umenizoeaa porojo za mama mwajumaaa na uku nipooo
Karibuni sana...nipo kabisa, anajua nilimmiss tangu alhamis. Ila please twende Kgmbn usinitose aunt
Sawa binamu basi nawe ujiongeze binamu yangu umpe mauwa mama mchuchu kigamboni tunaenda ebu jiongeze kwanza
woyoooooooooo
Sawa binamu basi nawe ujiongeze binamu yangu umpe mauwa mama mchuchu kigamboni tunaenda ebu jiongeze kwanza
Binamu wewe jamaam mbona upo hivi ebu tuma vilivyopo na uendelee kutafuta...simu yangu haina maua, au sijui yako wapi? maana mimi naona viemoj vichache tu na hata kile chemnye mimba nadhani hakipo tena, labda wamekirudisha shule
Somehow ndio maana napenda jf tu sipend msongamano wa marafiki kitaa.Duh, basi wewe una bahati sana na vyovyote vile utakuwa na mipango ya kando mingi sana maana kwa ukimywa wako wanaamini unatunza siri
MmmmhNilireport kwa mods
Isingewezekana dada wamechafuliwa wengi na inaonekana wengine wamereportMmmmh
Si ungewaambia wakufute hapooo.. Sasa ndo nini kuondoa uzi wote
Binamu wewe jamaam mbona upo hivi ebu tuma vilivyopo na uendelee kutafuta