Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Sema inawaonaga wa Africa tuLeo katika historia
1/7/2002 Mahakama ya kimataifa ya ICC yaanzishwa rasmi kwa ajili ya kuwahukumu viongozi wanaotenda makosa ya kihalifu wanapokuwa madarakani
Sema inawaonaga wa Africa tuLeo katika historia
1/7/2002 Mahakama ya kimataifa ya ICC yaanzishwa rasmi kwa ajili ya kuwahukumu viongozi wanaotenda makosa ya kihalifu wanapokuwa madarakani
Wewe ndo umemkosaaSi nilisema mchana sitakuwepo hapa..
..
AsanteeeeKufikia hapo basi leo katika historia haina la ziada. Asante kwa Ibracadabra kwa kusababisha hii siku ya leo..
Asanteni sana wote kwa kuwa kuwa pamoja nami asubuhi ya leo. Niite Jimena Jimenes.... Muwe na weekend njema.... Nawapenda wote
OkIla wengi hamnazo
.......
Ata Thesis yake sijawahi kukutana nayo even Dissertation sijawahi kuisikia ...
Kuna mtu ana duku duku dukuPambe tuu
Wewe ndo umemkosaa
Jimena unamuonaa muulizee sass
Achagaa ujingaaa bhanaaaaah ....ujue kumuona mpaka keshoUpungufu wa maneno mdomoni huu ugonjwa wanitesa..
Leo katika historia
1/7/1881 Simu ya kwanza ya kimataifa yapigwa toka canada kwenda Marekani
Kufikia hapo basi leo katika historia haina la ziada. Asante kwa Ibracadabra kwa kusababisha hii siku ya leo..
Asanteni sana wote kwa kuwa kuwa pamoja nami asubuhi ya leo. Niite Jimena Jimenes.... Muwe na weekend njema.... Nawapenda wote
Achagaa ujingaaa bhanaaaaah ....ujue kumuona mpaka kesho
Morning SakayoMorning wakuu
Wapi papaa shemeji Lee...
Leo katika historia
1/7/1931 shirika la ndege la Marekani (united Airlines) laanzishwa
Bhinamu uko poa ??....labda sijaelewa, alipata PhD akiwa madarakani US au vipi? Maana kina angela Mikel wana ngazi hiyo ya elimu