Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,636
Hao SaN sijui kama waandishi wao wamesoma shuleHilo gazeti la sani ni waongo sana tangu lini korea akawa na uwezo kuzidi Marekani
Nafikiri anachohofia Mmarekani kama akiishambulia korea ni Urusi na China kuingilia kati maana korea kaskazini iko mipakani na Urusi na China
Nchi nyingine ambazo korea imepakana nazo kimipaka ni Japani na ndugu zao kusini ambazo ndiko Marekani anakoegemea

Tutamkumbuka Spika speed & standards Mzee Sitta
MorningMorning Lee
KaribuTUPATE DONDOO ZA MAGAZETI YA LEO
Nahisi gazeti linamilikiwa na Wakorea KaskaziniView attachment 533396Lee upo hapo, nipe ushuhuda wa hizi story za hili Gazeti
Akya kya kya kya kya kya kya kya kya kya kya kya. .na leo nitoe jeroo kwa upuuzii wa sani ...mmejisomea wenyewe janaView attachment 533396Lee upo hapo, nipe ushuhuda wa hizi story za hili Gazeti
AsanteeeView attachment 533398Mpaka hapo sina la ziada kutoka magazetini kwa udhamini mnono wa My swi Tumosa,
Nawatakieni jumamos njema
Apana tumeamka wote japo umenitangulia kidogo ...jana nililala siko poaWe Unalala saana bhana
Nakumis ujueeNawe pia shem darling.... Asante kwa UF
Sio wote lakinWana jeshi wa Kiafrika ni wababe mitaani
Wana kasumba flani hivi
.
.
.
.
.
Ahsante mdau
........
Eee! Rudi home bhana..Kweliiii


KwemaaKwako pia Lee
Ata Thesis yake sijawahi kukutana nayo even Dissertation sijawahi kuisikia ...Nasikia Sizonje anayo PhD ndo iliyomponza Ben Saanane
![]()
![]()
.....
Hao SaN sijui kama waandishi wao wamesoma shule![]()
![]()
![]()
jana nilijitoa ufahamu kulinunua hamna lolotee
Kama movie za lufufuNahisi gazeti linamilikiwa na Wakorea Kaskazini
Maana limepitiliza kwa kuipamba NK
....
MorningMorning wakuu