Makapuku Forum

Makapuku Forum

6/Beyonce Knowles--Carter
2110401c996769d6914ac21d6ec69f68.jpg
bba97fb107313b27bfd61bd01dc2b68e.jpg

Amezaliwa Septemba 4 1981
Huu ndo usingizi wa Jay Z....Kama huna mpenzi wala usione wivu tafuta hata bata ulale nae
Beyonce na Jay Z wamejaaliwa mtoto mmoja Blue Ivy ila pia ana ujauzito wa mapacha(keshajifungua ?)
Nyota yake ilianza kung'ara akiwa Spice Girls na akina Victoria Beckham{PoshSpice). Mel B na wengineo
Ana biashara kibao akishirikiana na Jay Z mbali ya kazi zake za kimuziki
Ana mkwanja unaofikia USD Bilioni 1 na usher
.......
Naskia ana kanisa lake na yeye ndio mungu Wa hilo kanisa ana biblia yake pia
 
sikuwa najua kama alipita Spice Girls
16eb43d7d4128e6ab31f462ee702900f.jpg
c92af110e9bc0647284c42036e85322f.jpg
Walishapiga ngoma kibao km vile Say You Be There na kuiteka dunia kabla ya kusambaratika na kila mtu kufanya kazi kivyake

Destiny's Child ila yeye na Kelly Rowland pekee ndo waliomudu na kutamba
Mfano Kelly Rowland akatikisa na Dilemma alioshirikiana na Nelly
.......
.............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom