Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
Fanya hivyo braza. Weekend hii uenjoy maisha bhanaNdiyo brother nilitaka nikamchukue wife nimemmiss sana.
Fanya hivyo braza. Weekend hii uenjoy maisha bhanaNdiyo brother nilitaka nikamchukue wife nimemmiss sana.
Usijali bro.Fanya hivyo braza. Weekend hii uenjoy maisha bhana
Poa poa. Ngoja niweke simu kwenye chajiUsijali bro.
Hhahaha.shukran mkuu,dakika mbili hizi nshapewa kombe!!!
Pole.Poa poa. Ngoja niweke simu kwenye chaji
Poa sana mkuu bila shaka uwepo wako wewe utamleta na shemeji yetu lizziebettie hamuonekan kabisa ndugu zangu..Za jioni humu ndani
Pole*
Ni kweli kaka, siku zote pesa ya mshahara huwa haitoshi.Ndiyo maana siku zote nasema kuajiliwa ni utumwa.
Mfano unapata mshahara laki 5
Makato kibao.
Unalipa kodi ya nyumba.
Unasomesha
Unanunua mahitaji ya nyumbani
Unataka kujenga.
Watoto wataumwa.
Utahudumia ndugu.
Utanunua nguo na vitu vingine vya luxury.
Usafiri.
Utataka umiliki shamba.
Na mambo mengine kibao huo mshahara utatosha nini kama si kufa masikini.?
Utadhani hiyo pilau itakimbia!Linakaribia kupakuliwa![]()
Safi tu kaka. Ngoja simu ipate chaji kidogo nitakuja na shemeji yako lizziebettiePoa sana mkuu bila shaka uwepo wako wewe utamleta na shemeji yetu lizziebettie hamuonekan kabisa ndugu zangu..
Huyo bwana mdogo amechanganyikiwa mpotezee.Nashukuru kusikia hivyo kutoka kwako Shemeji maana nimeona kuna baadhi ya watu hapa EMMYGUY wakinadi kuwa umeachwa na nini....Na wap lizziebettie shemeji yetu sijamuona mda kidogo..
Mwenyezi Mungu akulinde na akuongoze katika njia uendayo.Tuombeane brother.
Mungu atuongoze.
Poa brother.Mwenyezi Mungu akulinde na akuongoze katika njia uendayo.
Salama kabisa.asante mpwa habari.?
True.Ni kweli usipojiongeza hutoboi kabisa ndugu yangu...
Hao ndo huwa nawaona kama hawajajiandaa kuyakabili maisha ipasavyo.Ni changamoto kubwa sana na wengine wanashindwa kutoka kwenye hzo ajira maana amechukua mkopo atakaoulipa miaka 5 then pesa yote hiyo ya mkopo kanunulia gari tena la kwendea kazin na jion kupaki Bar...
Haahahahahah itakuwa anajua asee si wife kabisa yule.. youngblood unamchek ndugu yako hapa..
Karibuni sana mkuu...Safi tu kaka. Ngoja simu ipate chaji kidogo nitakuja na shemeji yako lizziebettie
Salama kabisa braza, nilimiss uwepo wako humu ndani.Za jioni humu ndani
Hahahahah sawa mkuu mi wacha nisiwaingilie mkuu wangu..Huyo bwana mdogo amechanganyikiwa mpotezee.