Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Tanzania lini??Hongera kuapishwa kuwa rais mama Isabel Peron
Tanzania lini??Hongera kuapishwa kuwa rais mama Isabel Peron
Hongera nchi ya Seychells kupata uhuru na kumbukumbu ya leo miaka 31 ya UhuruLeo katika historia
29/6/1976 Nchi ya Seychelles (Shelisheli) yajipatia uhuru wake toka kwa waingereza
Asante Shululu kwa vichwa vya habari za magazeti ya leo.
mzeewakungoaHBD Nicole SchetznigerLeo katika historia
29/06/1978 Mwanadada mrembo Nicole Schetzniger anazaliwa. Huyu ni mwanamuziki kutoka nchini Marekani ambae anakubalika kwa vibao vyake mahiri kadha wa kadha.
Mi naukubali wimbo wake unaoitwa Lie about us alioshirikiana na Avante
UmeonaeeKwa kweli haifai kuongezea... Labda ajibu.
Hapo sasa ndio umeongea point...Asantee kwa neno ....
Na mm nasemaaa hivii jioniiii tutafutanee


Hongera Apple kwa uzinduzivwa simu Iphone miaka 10Leo katika historia
29/6/2007 kampuni ya Apple yazindua rasmi simu yake ya kwanza ya IPhone.
Vip harakat za kusaka tonge zinaendajeSafi kabisa
Tatizo kujua unapambana na nani, hapo ndio pagumuHivi Tanzania hakuna makomando wa kupeleka kibiti wakamalize hili zengwe!?
Hapa sijaelewa kabisaUpendo bila mikapa ya kiimani...ndio upendo wa kweli
Kazi ipo,pia tunayo.hahahaaaaaSi ndio hapo ... Yani upuuzi mtupu
Mbarikiwe Mwenyekiti Mussolin5 na Jimena kwa historia na udhamini mbarikiweLeo katika historia siku ya leo ya tarehe 29/06/2017 haina la ziada...
Kwa niaba ya mwenyekiti Mussolin5 niite Jimena Jimenes
Asante sana wadhamini wetu ambao ni kinywaji cha mbege asanteni sana wote mlionisoma na kwaherini kutoka katika meza ya historia asubuhi ya leo
Ciao!!!
Gazeti hilo si unalijuaAmeleta umeme au afanya mpango wa umeme wa wati hizi!??.
Magazeti Mimi siweze nunua hata kwa bei che!!
Atuachiee soka letuuHachomoki aisee
Ubarikiwe Sakayo siku njema
Naijuaaa ...aunt yangu tenaaa ????Kumbe unajua weakness yangu eeh