Umrudishe madenge wetuOyaaa makapuku naombeni assist
.....
Ndio umri Unaenda hivyo.. Hongera mwayaKuna mambo nashindwa kuyafanya tena tofauti na zamani
......
Sirudishi tena ile avatarUmrudishe madenge wetu
Hamna noma kila anayejaribu viatu vinapwayaLeo katika historia ...nimevamia fani
Wewe weka pichaHamna noma kila anayejaribu viatu vinapwaya
Hivyo tu mjue kwamba jamaa anafanyaga kazi kubwa kiasi kwamba wengine tukijaribu tunajikuta tunateteneja
....
Na usirudishe kabisaaSirudishi tena ile avatar
....
Wala hujavamia kila kitu ni kujaribuLeo katika historia ...nimevamia fani
Nimemuona ankali JJMkuu sana shululu, mambo vp?
Umemwona binti Jj?
Ray:Bitoz mambo vipi ?
Bitoz:Fresh tu jamaa angu Ray
Ray: Kaka Bitoz naomba assist
Bitoz: Kwani mimi Messi ?
Ray;Acha ubahili wewe
......