Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Nalala sasa hivi tuuEndelea kupiga kazi boss
Nalala sasa hivi tuuEndelea kupiga kazi boss
Na yeyote tu atakayekuwa tayariNa nani, mie nalala
AaahAu ndio mpo wote mmekaa anaanza kuingizia habari za x wake![]()
inahusu nini tuongelee mapenzi yetu
Hivi ulisema nikuletee Redbull ngapi tena?Shangaa na wewe sasa
Mzigua Mzigua... Mzigua my foot
Baba D vipi jamaan
NdioWanawake nyinyi mna hekima zenu... Dume liwe fundi kweli kweli kuzielewa
Niishie hapo tuu kwa hayo mambo ya internal affairs...Wa nini tena
Miss u jamaan umerudi na cuzoo karudi au mlikuwa woteNaam shem wane
Imekuwaje lakiniPunguza baaaasi jamani
Nyagei ..Sijaichoka kazi madam
Woiiiiii dude limechachamaaUnaweza kuicheza na Mzigua au kuna shida

Upo mlinzi wanguMiss u moo madam
Vunga basi na wewe! Au stori za shanga zimeisha?![]()
![]()
me sipendi hizi habari mambo ya x yanahusu nini
Kwahiyo shanga ndio zinasababisha mchepuke kwanza baba d hazipendi ata kuzionaBasi tulia lee achepuke tuu
NdioKaah