Makapuku Forum

Kuna mtu niko nae hapa;

Namuuliza raha ya shanga nini.

Anasema raha ya shanga mzikate wakati wa Bed-kwaito afu muanze kuziokota moja moja wewe na mpenzi wako


Sasa hiyo raha ama karaha


...huyo aliyekujibu hivyo ni fundi mtaalamu kabisa, fuata ushauri wake. Kuna tule tudogotudogo kuokota hadi apige magoti. Yaani wewe unabaki kuwa mhamasikaji tu kuhamasisha ni juu yake😀😀
 
Love you madame S, Mungu akubariki,nami nisamehe kwa lolote nilililokukosea ,nami sina ulilonikosea ..ubarikiwe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…