Makapuku Forum

YOELI 2

12.Lakini hata sasa asema BWANA ,Nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote,na kwa kufunga ,na kwa kulia ,na kwa kuomboleza

Asante Baba kutuamsha salama.tunaomba toba kwa yote tuliyokosa kwa mawazo,maneno na matendo uturehemu twakusihi.

Bariki MAKAPUKU wote mahali hapa ,tupe moyobwa kukutegemea na kukuamini na kila tunapoenda kinyume na mapenzi yako ,kwa matakwa yetu wenyewe hima tukurudievkwa kuomba,kutubu,kuomboleza ili utusamehe na tujute tusirudie yale runayozoea kutenda kwa kukusudia au bahati mbaya,tufundishe kusamehe wenzetu kama vile unavyotusamehe,asante kwa siku ya leo endelea kutuweka karibu tukufundushana kwa upendo na kuchukuliana.
fariji wafiwa,wajane,yatima ponya wagonjwa watie moyo waliovunjika moyo waendelee kukutegemea.

Asante BABA maana kila siku unasikia na kujibu maombi yetu.

Katika jina la YESU Amen

SIKU NJEMA WAPENDWA
 
Walikuwa wanakula vitu vya moshi kwanza eeh?
 
Sawa mkuu wa DId you know?
 
Labda useme hivyo.. Lakini mwanzoni mlikuwa changamoto, nilikuwa nasoma huku nawaza mbona hawa watu wako na chuki hivyo... Halafu za wazi kabisaa Niliogopa kwa kweeli lakini saivi walaa
 
Ameeen
Nawe pia barikiwa mamy
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…